The Blog

MR.NICEKUFUNGUKA KATIKA LEO TENA JUMATANO IJAYOUSIKOSE!

Ilikuwa leo ijumaa tuongee nae lakini imeshindikana kwa sababu leo anafungua club yake mpya hivyo yuko busy.Club yake ambayo inaitwa LONGROOM ipo maeneo ya Sinza makaburini zamani ikijulikana kama primar club.

".dina nina mengi sana ya kuwaambia watanzania,siku hiyo nitaiheshimu sana kwani nitaacha kazi zangu zote"alisema Mr.Nice.

Article Categories:

Uncategorized

Posted in Business Post Date 11/09/2019


Comments

Name


Email


Website


Comment


Recent Posts